Mungu wangu, nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma; Kwani ndiwe uliyefundisha hayo, wala hudanganyiki, wala hudanganyi.
Maoni
Andrew Timotheo
mapendo, kwakweli hii sala ianibariki sana ninapo isali kwaio vijana wenzangu tuipende hii sala.Vicklina Ponela
Daima.sawa asante.Petro Kapufi
Daima .namimi piaaPETERKENNEDY OPIYO
AminaJulius Pius
NimeipendaJulius Pius
SawaJulius Pius
waroma wenzangu, nawasalimu katika jina la baba la mwana na la roho mtakatifu AMINA.Jumanne Kasonso
Amina watu wa munguJumanne Kasonso
AminaIngia utoe maoni