Kanuni ya Imani
Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi, mwumba mbingu na dunia. Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee, Bwana wetu; aliyetungwa kwa Roho Mtakatifu, akazaliwa na Bikira Maria, akateswa kwa mamlaka ya Ponsyo Pilato, akasulubiwa, akafa, akazikwa, akashukia kuzimu; siku ya tatu akafufuka katika wafu; akapaa mbinguni; amekaa kuume kwa Mungu Baba Mwenyezi; toka huko atakuja kuwahukumu walio hai na wafu. Nasadiki kwa Roho Mtakatifu, Kanisa takatifu katoliki, ushirika wa Watakatifu, maondoleo ya dhambi, ufufuko wa miili, uzima wa milele.
7 Imependwa
12 Maoni

Maoni
Eligius Julius
Ni maana ya rosali takatifuMoses semroki
Rozali ni tafakri fupi ya biblia takatifuEligius Julius
Ni maana ya rosali takatifuEligius Julius
Somo la injili takatifu tarehe 22,may,2021FLAVIUS FRANCIS
hiyo sala ya kanuni ya imani ni fupiMoses semroki
Hapana ni ndefuainea simyota
aminaEvody Kimario
Kuna tofauti ipi kati ya kanuni hizi mbili za Imani. Yaani hii na Ile tunayosali wakati WA Misa takatifuBeatrice Kweka
Sala Hii Kuna maneno yanakatishwa tofaut kidogo na Ile ya wakati wa Misa takatifuDAVID ELIA
Mimi nina penda hii sala. Je! Kuhusu nyiyeDAVID ELIA
Tafazali mutumia picture zenu ili sisi pia tuwaoni.TGNED DELIA
Mungu ni mwemaLameck Deusi
Naipenda sana katorikFrank Msahala
Nashukuru mungu kwa uzima wangu ahsante kwa uwokozi wa dhambi zangu naomba uniponye na kunisambi zangu niokoe eeh roho mtakatifu bwana yesu we ni mwingi wa uzima na lehema nimejifunza neno lako nda litunza na kulieshimu pia nitalitangaza jina lako milele.Yohana amos charse Amoss charles
nashukuru pia inanisaidia kusoma vitabu na kujifunza mambo mengi nasema ahsanteIngia utoe maoni