Jumamosi. 20 Juni. 2026

Sala

Sala ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Nilinde tena siku hii, Niache dhambi nikutii, Naomba sana Baba wee, Baraka yako nipokee, Bikira safi ee Maria, Nisipotee unisimamie, Mlinzi Mkuu Malaika wee, Kwa Mungu wetu niombee, Nitake nitende mema tu, Na mwisho nije kwake juu.

Maoni

Mjukuu wa Mbyallu

Tunashukuru sana kanisa letu la kikatoliki kutuletea biblia mpaka kwenye simu zetu

Joseph Marekani

Amina

LAMECK NIYIBOGORA

AMINA

John Sebeya

Asante sana.

PETERKENNEDY OPIYO

Ninashukuru sana kanisa letu la kikatoliki kwa kutuletea bibila na sala zote kwenye simu kupitia teknolojia ya sasa.

DAVID ELIA

Nami pia ninashukuru

TGNED DELIA

Tukiendelea kusoma masomo hii, mungu atatubariki.

cosmas kawishe

Nmebarikiwa na sala ya asubuhi

EMANUEL GABRIEL

tumkumbuke mungu

JOSEPH DAHAYE

Namshukuru sana mungu kwa kuona siku hii ya leo na naomba aendelee kunilinda na kuniongoza katika njia ninazopita pia naomba uwalinde ndugu zangu na watu wote kwa jina la baba, mwana na roho mtakatifu kama mwanzo sasa na siku zote na milele.AMINA

Emmanuel Asubisye

Asante Mungu kwaajili yangu ,pamoja na familia yangu Amina.

DIONIZI MATESO

Namushukuru mungu

Ingia utoe maoni