Amri za Kanisa
1. Hudhuria Misa takatifu Dominika na sikukuu zilizoamriwa.
2. Funga siku ya Jumatano ya majivu, usile nyama siku ya Ijumaa kuu.
3. Ungama dhambi zako zote walau mara moja kila mwaka.
4. Pokea Ekaristi Takatifu hasa wakati wa Pasaka.
5. Saidia Kanisa Katoliki kwa zaka.
6. Shika sheria Katoliki za ndoa.
                                
                                0 Imependwa
                                0 Maoni 
                            
                            
                        
Maoni
Ingia utoe maoni