Amri za Mungu
1. Ndimi Bwana Mungu wako usiabudu miungu mingine.
2. Usilitaje bure jina la Mungu wako.
3. Shika kitakatifu siku ya Mungu.
4. Waheshimu baba na mama upate miaka mingi na heri duniani.
5. Usiue.
6. Usizini,
7. Usiibe.
8. Usiseme uongo.
9. Usitamani mwanamke asiye mke wako.
10. Usitamani mali ya mtu mwingine.
3 Imependwa
2 Maoni

Maoni
DAVID ELIA
Tunashika amri hii kweli?LAMECK NIYIBOGORA
haaaaa! kweli nivigumu! tuombe roho mtakatifu atuwezeshe bali bila yeye hatutawezaIngia utoe maoni