MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)
1. Malaika Gabrieli anampasha habari Maria kuwa atakuwa Mama wa Mungu. Tumwombe Mungu atujalie unyenyekevu.
2. Maria Mtakatifu anakwenda kumtembelea Elizabeti. Tumwombe Mungu atujalie mapendo ya jirani.
3. Yesu anazaliwa Bethlehemu. Tumwombe Mungu atujalie moyo wa ufukara
4. Yesu anatolewa hekaluni. Tumwombe Mungu atujalie usafi wa moyo.
5. Maria anamkuta Yesu hekaluni. Tumwombe Mungu atujalie kuwatii wakubwa wetu.
1 Imependwa
4 Maoni

Maoni
ekiusi Selestine
Mama bikira maria utuombee sisi wanao na utufikishie maombi yetu kwa mwanao yesu kiristuPasco Ikundi
AminaMARCIANA MASALU
MUNGU anijalie nipate ufauru mzuri kwenye mitihani yanguMARCIANA MASALU
Tuwe na ushawishi mkubwa kwa watu ili wapende kusari rozari takatifuMARCIANA MASALU
Tuwe na ushawishi mkubwa kwa watu ili wapende kusari rozari takatifuIngia utoe maoni