Baba yetu uliye mbinguni Jina lako litukuzwe Ufalme wako ufike Utakalo lifanyike Duniani kama mbinguni Utupe leo mkate wetu wa kila siku Utusamehe makosa yetu Kama tunavyowasamehe Na sisi waliotukosea Usitutie katika kishawishi Lakini utuopoe maovuni.
Maoni
JOSHUA MUCHIRI
imenifunzaLucas Malley
Utaratibu wa kusali rozariDAVID ELIA
Inapenda tutie kwa kichaJumanne Kasonso
Mungu awa bariki watu wa munguSylivanus Nyitwe
NimebarikiwaImanuel Byamungu
Tuendelee kuhimiza vijana wawe wanaenda kanisaniIngia utoe maoni